Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bei ya baiskeli za mitumba yapanda Dar es Salaam

Thursday , 17th Sep , 2020

Baadhi ya wauzaji wa baiskeli zilizotumika (used) jijini Dar es Salaam wamesema bei ya jumla kwa baiskeli hizo imepanda kutoka shilingi elfu 40 Hadi kufikia shilingi 80(elfu themanini) kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa Covid 19.

Baadhi ya wauzaji wa baiskeli wakiziandaa kwaajili ya kuwauzia wateja

Waswahili wanasema linalowezekana leo lisingoje kesho msemo huu ukisemwa na moja ya wauzaji wa baiskeli hizo ambaye ameoneshwa kuumizwa na hali ya biashara hiyo ilivyo kwa sasa kwa kuwa mataifa mengi ambayo huzifuata bidhaa hizo mengi bado yanalia na janga la Covid 19.

"Kipindi cha nyuma ulikuwa unashusha kontena haraka tuu mzigo unachukuliwa lakini saizi hapa nyuma kidogo unapesa lakini huwezi kwenda nje kufata mzigo ndo maana moja kwa moja baiskeli zimepanda bei tofauti na ilivyokuwa "-Hamis Bones muuzaji wa baiskeli

Bw Hamisi amesema biashara hiyo imeajiri watu wengi wakiwemo mafundi ambao huzirekebisha mara baada ya mzigo kufika, vijana waoshaji huku wao wenyewe wakielezea namna biashara hiyo inavyochangia katika maisha yao ya kila siku.

"Yani kiukweli kabla ya hali ya maradhi ya Covid 19 mzigo ulikuwa unatoka sana na kiukweli kipato kilikuwa kizuri tofauti na sasa zaidi tunaganga tuu ivyo ivyo"alisema mmoja ya Mafundi baiskeli Pius Adolfu.

Aidha wametoa wito kwa vijana bado muda wote wamekuwa wakilalamika juu ya ukosefu wa ajira kuthubutu kufanya lolote Ili kuondokana na adha hiyo.
Huku wakiiomba serikali kutichoka kuweka mazingira rafiki kibiashara.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu