Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NEC yakabidhi fomu mgombea wa mwisho urais

Wednesday , 19th Aug , 2020

Ikiwa zimesalia siku Saba kufikia ukomo wa kurejesha fomu wagombea kwa nafasi ya Urais Hii leo mgombea wa nafasi hiyo kwa Tiketi ya Chama NLD bw Maisha Mapya Mchunguzi amejitokeza ofisi za Time ya Taifa ya uchaguzi NEC na kukabidhiwa fomu hiyo.

Mgombea urais kwa Tiketi ya Chama NLD bw Maisha Mapya Mchunguzi baada ya kuchukua fomu NEC

Akikabidhi fomu hizo kwa Mgombea huyo wa Urais wa Jamhuri ya Muungano Mwenyekiti wa Time yanTaifa ya uchaguzi Jaji mstaafu Semistocles Kaijage  amemtaka mgombea huyo kupitia na kuzisoma fomu hizo na kuzijaza ipasavyo kabla ya kuzirejesha kwa ajili ya uteuz.

"Ndani ya mkoba huo tumekukabidhi fomu pamoja na kitabu Cha maadili kisome kitakupa mwongozo wa ukizingatia matakwa ya Kisheria kabla ya zoezi la Uteuzi."

Awali mgombea huyo amepatiwa maelekezo ya awali kuhusu kuzunguka katika mikoa kumi ili kutafuta wadhamini Mia mbili ambao watakamilisha hesabu ya wadhamini takribani 2000 wanaotakiwa huku mgombea huyo kutoka Chama Cha NLD akielezea vipaumbele vyake kama Chama Hicho kitashika hatamu.

"Nina Imani kubwa na watanzania watakipatia nafasi Chama changu Cha NLD na sisi vipaumbele vyeti Kama Chama ni kuhusu uchumi shirikishi utakaogusa kila sekta."

Hadi kufikia Sasa kwa mujibu wa Taarifa za Time ya Taifa ya Uchaguzi Mgombea huyu kutoka NLD anakamilisha hesabu ya jumla ya vyama 17 vilivyojitokeza kugombea kwa ngazi ya Urais

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani