Afisa uhusiano wa TAKUKURU Doreen Kapwani
Taarifa ya TAKUKURU iliyotolewa na Afisa uhusiano Doreen Kapwani, imeeleza kuwa, fedha hizo ni zile ambazo zimelalamikiwa na wabunge waliokihama chama hicho.
Aidha TAKUKURU wameeleza kuwa tayari wameshawahoji viongozi wa CHADEMA, viongozi waliowahi kuwa CHADEMA, Wabunge waliotoa taarifa, Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wengine.
Tazama Video hapo chini akieleza zaidi.
