
Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Waziri Mwakyembe
Rais Magufuli amesema hayo wakati akimuapisha Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba mkoani Geta, ambapo amesema hakuna mwanamichezo ambaye amepata madhara makubwa juu ya ugonjwa huo.
Rais Magufuli amesema kuwa "Siku za mbeleni ninafikiria kuruhusu Ligi ziendelee, ili watu wacheze wawe wanaangala kwenye TV na tuweke utaratibu mzuri, hata waliokuwa affected na Corona sijaona Mwanamichezo yeyote ambaye amedhurika sana kwenye hili"
"Siku za mbeleni ninafikiria kuruhusu Ligi ziendelee, ili watu wacheze wawe wanaangala kwenye TV na tuweke utaratibu mzuri, hata waliokuwa affected na Corona sijaona Mwanamichezo yeyote ambaye amedhurika sana kwenye hili" - Rais @MagufuliJP #JPMKumuapishaMwigulu pic.twitter.com/mH3zdG1Oxw
— earadiofm (@earadiofm) May 3, 2020