Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mo Dewji ajitolea Simba, Mwakyemba afafanua

Monday , 5th Aug , 2019

Menyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba Mohammed Dewji, amesema kuwa ujenzi wa uwanja wa Bunju katika awamu ya kwanza, atagharamikia yeye mwenyewe.

Waziri Mwakyembe akipeana mkono na Mohammed Dewji baada ya kuweka jiwe la msingi.

Mo Dewji amebainisha hilo leo wakati wa uwekaji jiwe la Msingi katika ujenzi huo, ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe.

''Mimi kama mwanachama na shabiki wa Simba nimeamua kutoa pesa zangu mfukoni kwaajili ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Bunju Complex, na hizi hazihusiani na zile tulizokubaliana kwenye uwekezaji'', amesema Mo Dewji.

Kwa upande wake Dkt. Harrison Mwakyembe amesema kuwa wanasimba na vilabu vingine wanatakiwa kuendelea na zoezi la uwekezaji huku kanuni zikiendelea kuandaliwa na hakuna atakayekiuka.

''Timu ya Simba SC waliniomba waendelee nikawakubalia wakati ambao tunatengeneza kanuni na niwahakikishie zitafuatwa na zisitumike kuharibu hamasa, hata kwenye timu zingine karibuni muwekeze'', ameeleza Mwakyembe.

Aidha amewataka wanasimba kuwaunga mkono viongozi wao pamoja na juhudi zote za ujenzi wa uwanja wa Bunju Complex hata kama hawana pesa za kutosha wanaweza kujitolea kwa kazi zinazohitaji nguvu ili kukamilisha jambo hilo la kihistoria.

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani