
JKT ambayo ilisimika mizizi mkiani mwa msimamo kwa muda mrefu tangu kuanza kwa ligi, kwa sasa ipo nafasi ya 10 na pointi 12, hata hivyo, King Kibadeni amesema bado hawajajihakikishia kukwepa mstari wa kushuka daraja, ndiyo maana ameamua kuendeleza program za mazoezi.
Kocha huyo mkongwe amesema ameamua kuweka kambi Chanika kutokana na utulivu wa mazingira.
Kibaden amesaema bado hawako salama katika janga la kushuka daraja ndio maana ameona kuna kila sababu ya kuendelea na programu za mazoezi.