![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/belle-944.jpg?itok=nTke0DPY×tamp=1473258249)
staa wa muziki wa bongfleva Belle 9
Belle 9 ambaye utaratibu wa uendeshaji wa shughuli zake unaonekana kuamka na nguvu mpya, amesema kuwa anatambua sapoti anayoipata kutoka kwa watu wake, miaka 8 tangu kuanza muziki, kama anavyoeleza hapa.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/b91.jpg?itok=PA8II9lq)
Katika kipindi hiki ambacho kuna mvutano mkubwa juu ya wasanii bora hapa Tanzania hususan kwa upande wa mashabiki, nyota wa muziki Belle 9 amesema sapoti ambayo amekuwa akipata katika muziki wake, ameamua kuihamishia katika kufanya kazi nzuri.
staa wa muziki wa bongfleva Belle 9
Belle 9 ambaye utaratibu wa uendeshaji wa shughuli zake unaonekana kuamka na nguvu mpya, amesema kuwa anatambua sapoti anayoipata kutoka kwa watu wake, miaka 8 tangu kuanza muziki, kama anavyoeleza hapa.