
Msanii wa muziki Riz Conc akiwa na Sir Zulu katika kava ya wimbo wao mpya 'Sitaki Shari'.
Riz ameweka wazi katika rekodi hiyo mpya safari hii ameamua kumshirikisha staa wa bongo aliyekuwa akiishi huko Afrika Kusini, Sir Zulu.
AKiwa amebadilika kabisa kutoka katika michano kwenda katika kuimba, Riz Conc amesema kuwa ili kuwafikia pia mashabiki wa jinsia ya pili ameingia katika kuimba, huku akieleza kuwa amepata nafasi ya kufanya kazi na Sir Zulu kutokana na uzoefu wake katika game Tanzania na Afrika Kusini.
