Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yapata mwakilishi CHAN

Friday , 12th Jan , 2018

Pamoja na Tanzania kutolewa na Rwanda kwenye michuano ya kuwania kufuzu fainali za AFCON 2018 kwa wachezaji wa ndani (CHAN), lakini Rais wa TFF ameteuliwa kufungua michuano hiyo.

Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF limemteua Rais wa shirikisho la soka nchini TFF Wallace Karia kuwa kamishna wa mechi ya ufunguzi wa fainali za ndani (CHAN) kati ya wenyeji Morocco dhidi ya Mauritania itakayochezwa kesho Januari 13.

Michuano hiyo ambayo inafanyika kwa mara ya tano tangu ianzishwe, inatarajiwa kuanza kesho ikishirikisha nchi 16 na itamalizika Februari 4, 2018 nchini Morocco.

Kabla ya Morocco kupewa uenyeji wa michuano hiyo awali ilikuwa ifanyike nchini Kenya ambapo shirikisho la soka Afrika CAF lilibadilisha kutokana na Kenya kushindwa kumaliza maandalizi ndani ya wakati.

Tanzania iliondolewa na Rwanda kwenye hatua ya kuwania kufuzu baada ya kutoka sare kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa CCM Kirumba kabla ya kushinda mchezo wa pili uliopigwa nchini Rwanda. 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani