Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee Akilimali azidi kumchana Niyonzima

Saturday , 24th Jun , 2017

Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali amesema hawana wasiwasi wowote juu ya kuondoka kwa kiungo wao  Niyonzima kwa kuwa wapo wengi walishaondoka waliokuwa wazuri katika timu yao akiwamo Sunday Manara na timu iliendelea kufanya vizuri.

Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali.

Mzee Akilimali amebainisha hayo kupitia kipindi cha Kipenga kutoka East Africa Radio, wakati akihojiwa na mtangazaji Tom Chilala na kusema Niyonzima aondoke tu Yanga bila wasiwasi wowote kwani ana uhakika wa kupata mchezaji mwingine wa kuziba nafasi yake.

"Mwache aende tu, Yanga ni timu kubwa na walipita wachezaji wengi zaidi yake kama vile 'Computer' na wengine wengi ambao walikuwa wazuri lakini timu iliendelea kubaki na kufanya vizuri" alisema Akilimali.

Pamoja na hayo, Mzee Akilimali amesema endapo uongozi wa Yanga utaweza kusema umeshindwa kufanya kazi zake ipasavyo basi wamuite yeye ili waweze kukaa chini na kuzungumza wapate muafaka mzuri katika klabu yao.

"Kiongozi waliyokuwepo madarakani kwanini hawatamki kuwa sisi tumeshindwa ebu watamke basi na nina kwambia wakitamka tu leo Niyonzima atarudi" alisisitiza Mzee Akilimali. 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa