Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mayanga aomba nguvu za mashabiki Taifa Stars

Saturday , 25th Mar , 2017

Kocha wa timu ya Taifa ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" Salum Mayanga amewataka mashabiki kuonesha uzalendo kwa timu yao hii leo katika mchezo wa kirafiki ya kimataifa katika wiki ya kalenda ya FIFA didi ya Botswana utakaochezwa Uwanja wa Taifa

Kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga

Mayanga amesema, mashabiki ni sehemu ya timu na wana uwezo mkubwa wa kuhakikisha timu inafanya vizuri licha ya kiwango kizuri cha timu hiyo.

"Timu ipo katika kiwango kizuri na naamini leo watapambana ili kuhakikisha tunapata ushindi ambao utatusogeza katika nafasi nzuri lakini mashabiki nao wana uwezo mkubwa wa kuongezea ushindi katika mchezo huo, tunawaomba wajitokeze ili kuweza kuangalia kikosi chao kinavyofanya kazi," amesema.

Mbali ya mchezo huo hii leo, Taifa Stars inatarajiwa kucheza mchezo mwingine dhidi ya Burundi Jumanne ijayo, Machi 28, mwaka huu, mchezo ambao pia ni wa kirafiki wa kimataifa.

Wachezaji Taifa Stars wakiwa mazoezini

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani