Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashabiki wa Liverpool washambuliwa Ukraine

Friday , 25th May , 2018

Hofu ya usalama katika mji wa Kiev nchini Ukraine, imeongezeka baada ya mashabiki wawili wa timu ya Liverpool kushambuliwa na genge la wahuni ikiwa imebaki siku moja kabla ya mchezo wa fainali wa mashindano ya klabu bingwa Ulaya.

Gazeti la Independent limeandika kuwa, Polisi nchini Ukraine, wamethibitisha tukio hilo na kudai kuwa wa mashabiki wawili wa Liverpool wamejuruhiwa katika ya mji wa Kiev mahali ambapo kundi la mashabiki hao walikuwa wamewasili katika mgahawa wa Rooster Grill.

Polisi wameongeza kuwa watu wawili wanashikiliwa kufuatia tukio hilo ingawa wengi wao walifanikiwa kukimbia katika eneo la tukio. Mmoja wa mshabiki Liverpool, Jason Frost amethibitisha kushambuliwa masaa mchache baada ya kuwasili katika mji huo 

“Tulikuwepo hapa kwa masaa manne  na kisha baadae tukaanza kushambuliwa, walikuja  kama kundi la mbwa, ilikuwa inaogopesha sana, tulikuwa tunapata chakula cha jioni, sikuja hapa kwa mambo haya, bali nilikuja kuangalia mpira” amesema Bwana Frost.

Kesho Mei 26, timu ya Liverpool kutoka England itakabiliana na Real Madrid ya Hispania katika mchezo wa mashindano ya klabu bingwa Ulaya utakaofanyika mjini Kiev katika nchi ya Ukraine.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya