Mkurugenzi wa WILDAF, Dkt. Judith Odunga.

24 Nov . 2014

Moja ya chumba cha darasa kilichogeuzwa Maabara.

24 Nov . 2014

Mkazi wa Loliondo akiwa amebeba moja ya mabango yanayoeleza kupinga mpango wa serikali wa kutaka kuchukua eneo lao katika kile wanachokiita kuwa ni kukiuka taratibu na sheria ya ardhi. Kushoto kwake ni mmoja wa wakazi wa Loliondo ambaye pia ni Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu, Bw. Onesmo Olengurumwa.

23 Nov . 2014

Majaji wakiwa makini taytari kwa kuchagua Wanamitindo watakaoshiriki Swahili Fashion Week 2014.

22 Nov . 2014