
Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Leonard Maboko akizungumza na wadau mbalimbali walio katika Mapambano dhidi ya Ukimwi leo jijini Dar es salaam. Mkurugenzi huyo amekutana na wadau hao kwa mara ya kwanza kuzungumza nao kuhusu mikakati mbalimbali ya kudhibiti Ukimwi.

Makasha ya nyanya katika moja ya soko Jijini Dar es Salaam

Moja kati ya mechi za vijana katika michuano ya ARS inayoendelea Dar es Salaam

Naibu Waziri anayehusika na watu wenye ulemavu, Dkt Abdallah Possy

Meneja Miradi na Biashara wa DSE Bw. Patrick Mususa (aliyesimama) akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam hivi karibuni
Dkt Ashatu Kijaji, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango

Moja kati ya mechi iliyowahusiasha viongozi wa dini na wabunge
Laudit Mavugo, (Kulia) akiwania mpra na beki wa Ruvu Shooting katika mechi ya leo la Ligi Kuu Tanzania Bara, uwanja wa Uhuru DSM