
rapa wa kike nchini Kenya Xstatic
Xtatic amesema kuwa, uamuzi huo haumaanishi kuwa amepoteza mkataba wake mkubwa na kampuni ya kimataifa kutoka Afrika Kusini ambayo inaendesha kazi zake katika wigo wa kimataifa.
Kwa mujibu wa maelezo aliyotoa kupitia ukurasa wake wa Facebook hivi karibuni, Xtatic amesema kuwa anautambua mchango wa Rockstar katika kila walichomfanyia ila kwa sasa anaona ni wakati muafaka kuendelea na mambo mengine.
