Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

#VIDEO Lulu kuigiza maisha!?

Friday , 18th Aug , 2017

Msanii wa bongo fleva  Lulu Diva ameibuka na kuwachamba watu wanaomuongelea vibaya  juu ya vitu vya gharama na magari anayotumia kuwa ni ya kuazima kwa kusema kwamba wengi wanaomzungumzia wana maisha duni .

Msanii Lulu Diva

Akipiga story na eNewz ya EATV Lulu amesema  yeye ni mtafutaji hivyo siku zote anafanya kazi kwa bidii kuhakikisha kwamba anaishi maisha anayohitaji na siyo kuigiza maisha kama jinsi watu wanavyomfikiria.  

'Niseme tu ukweli Lulu anaishi maisha  yake halisi na kila kitu ambacho unakiona kwa Lulu Diva ni mali yangu sina tabia za kuazima vitu, mimi ni mtafutaji na natumia mda wangu mwingi kuhangaika kutafuta vya kwangu sipendi kuigiza maisha"aliongea Lulu

Hata hivyo Lulu aliendelea kusema kuwa kwa upande wa magari kuna wakati natumia magari ya menejiment yangu ambayo ni kama magari ya office ninayofanyia kazi na sioni tatizo na hilo kwa kuwa mimi nafanya kazi na pia ni mmiliki wa baadhi ya magari ninayotumia.

Pia Lulu aliendelea kusema kuwa hajali maneno ya watu wanayoyaongeaa juu yake kwani anachikifanya ni kuhakikisha anawaziba midomo wote wanaomsema vibaya kuwa anaanzima vya watu na waamini kile anachokifanya maishani mwake.

Mtazame hapa chini Lulu akifunguka zaidi

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani