Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sijawahi na wala sitaimba mapenzi - Tabla

Thursday , 23rd Mar , 2017

Msanii wa muda mrefu katika bongo fleva ambaye hivi sasa ameibuka na kitu kipya alichomshirikisha Peter Msechu, 'Nasema na wewe' ameweka wazi kuwa hajawahi kuandika/kuimba wimbo wenye maudhui ya mapenzi na wala hatakuja kufanya hivyo

Tabla

Akizungumza na EATV, Tabla ambaye jina lake halisi ni Elvis Geofrey Tabula amesema ameamua kujikita kwenye nyimbo zenye ujumbe wenye mafunzo kwa jamii na mara nyingi huwa anakaa kimya lakini kila anapotoka na kitu kipya mashabiki wa muziki wana muelewa.

Pia amewataka wadau wa muziki kuangalia na kutoa sapoti kwa wasanii wanaotoa kazi nzuri badala ya wale wenye kazi mbovu lakini wanatumikia 'kiki' kuteka soko la muziki.

"Mara nyingi nakaa kimya sana, ila nikileta wanaelewa. Mimi ni msanii ninayeandika vitu vinavyoishi au vinavyoigusa jamii. Sijawahi kuimba mapenzi na hata kuandika mashairi ya hivyo...... Wadau waangalie kitu kizuri si kwa sababu ni mtu flani.. waachane na wasanii ambao kabla ya kutoa nyimbo lazima watengeneze kitu kama 'kiki' vitu vinavyoshusha uhalisia wa mwanamziki na tasnia nzima pia" Amesema Tabla

Akizungumzia game ya sasa jinsi ilivyo, Tabla amesema kuwa kwa sasa sanaa ipo juu na muziki wa Tanzania umefika mbali  kiasi cha wkuingizwa katika vinyang'anyiro vya tuzo kubwa

"Game ya sasa ipo juu sana, muziki wetu umefika mbali sana kwa sasa ukiachana na Afrika, ndiyo maana leo wasanii wa hapa wanarudi na tuzo kubwa duniani".

aka Tabla. 
Song:  

Hii ndiyo kazi aliyotoka nayo Tabla kwa sasa, ikienda kwa jina la 

 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP