Nyoshi El Sadat
Akionge kupitia eNEWZ Nyoshi amesema kama media zitatoa sapoti ya kutosha kwa nyimbo hizo na kukosa kufanya vizuri basi mashabiki zake wamkate mikono na miguu ili kuweza kuficha aibu ya uso wake kwa kuwa wamejipanga vizuri na wanahakikisha wanarudisha muziki wa dansi kuwa kwenye chart.
Hata hivyo Nyoshi amesema nyimbo walizoachia kwa mwaka 2016 hazikufanya vizuri kwa kuwa hawakupata sapoti ya kutosha kutoka katika media mbalimbali hali iliyopelekea muziki wa dansi kushuka chart kwa mwaka 2016.