Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nimechagua kuwa huru - Nay wa Mitego

Wednesday , 11th Oct , 2017

Msanii Nay wa Mitego amewataka mashabiki wake wamuache apumue kwa kumsakama kwamba kafulia, huku akisema maisha anayoishi sasa ameyachagua na anakuwa huru zaidi.

Akiongea na mwandishi wa East Africa Television, Nay amesema maisha ya kutembea kwa miguuu au kupanda bajaji ni maisha yake aliyokulia, kwani hata marafiki zake ni watu wa kawaida, na pia hapendi kuishi maisha ya umaarufu kama ambavyo wasanii wengi wanafanya.

"Jamai niacheni nipumue, haya ndio maisha yangu niliyoyachagua, kupanda bajaji au daladala ni sehemu ya maisha yangu, mimi nimetokea mtaani siwezi kuishi bila kuheshimu mtaa, hata marafiki zangu ukiwaangalia ni wa kawaida sana, kwa hiyo kutembea kwa miguu isiwe sababu, halafu kama hujagundua mimi napenda maisha ya kawaida, siishi kistaa kama wengine, na pia nikiishi hivi nakuwa huru zaidi", amesema Nay wa Mitego.

Hivi karibuni msanii huyo amekuwa akiandamwa na badhi ya watu kwa kuuza magari yake na kuonekana akitembea kwa bajaji au miguu sehemu mbali mbali. 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani