Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msitishwe na wasanii wenye followers wengi - Fid Q

Tuesday , 17th Jan , 2017

Rapa Fid Q amefunguka na kusema kuwa watu hawatakiwi kutishwa na msanii mwenye followers wengi kwenye mitandao ya kijamii wakidhani kuwa mtu huyo ndiyo maarufu sana au ndiyo kusema anakuwa na biashara sana kwenye soko la muziki.

Fid Q

Fid Q aliyasema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo na kusema wapo baadhi ya wasanii ambao hawana watu wengi kwenye mitandao ya kijamii lakini ni wasanii wakubwa na wanaweza kufanya show zao wenyewe na wakajaza na makampuni makubwa yakawekeza pesa zao.

"Views za Youtube hazi'define' muziki kufika kwa watu, nina ushahidi wa muziki ambao una views nyingi youtube lakini watu hawaujui, Chameleone anaweza kufanya event hapa Tanzania na ikawa na sponsors, ikajaza watu mpaka sponsors wakaweka hela zao na hatokei hapa Bongo, sasa jiulize kwanini huyu ana followers wachache kwenye mitandao ya kijamii au ana views chache youtube lakini ana soko kubwa. Kuna watu ni maarufu mitandaoni lakini hawajulikani Mpitimbi hapo au Nanjirinji hakuna mtu anawajua lakini ukienda kucheki followers Instgram utakimbia" alisisitiza Fid Q 

Kutokana na hilo Fid Q anawataka watu kutodanganyika na maisha ya social networks akisema kuwa kuna maisha yenye uhalisia nje ya mitandao ya kijamii 

"Kuna wasanii wengine wana followers wengi lakini wakifanya show wanachezea za uso, sasa hao followers wanaishi wapi? Ina maana followers wengi ni feki? Hata kama wakiwa real wengi hawa exist katika real life, sababu mtu kama una followers milioni mbili unafanya event masaa haijazi hao followers wako wako wapi?  Alimaliza Fid Q 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu