Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchepuko kachepuka - Dude

Wednesday , 23rd May , 2018

Msanii wa filamu nchini Kulwa Kikumba maarufu kama Dude, amefunguka kuwa wanaume ambao wanaanzisha mahusiano nje ya ndoa maarufu kama michepuko wanakuwa na hofu pindi wakirudi nyumbami wakiwa na wake zao.

Dude amesema hayo leo Mei 23, 2018 katika kipindi cha DADAZ kinachorushwa na kituo cha EATV kila siku ya Jumatano saa 5:00 asubuhi mpaka 6:00 mchana na kuongeza kuwa wanaume hao wanakua na wasiwasi mwingi kwa kuhofia michepuko yao, huenda wamenzisha mahusiano na watu wengine kipindi ambacho wanaume hao wapo na wake zao.

“Shida ambayo wanaipata (wanaume) ambao wanachepuka wanakosa 'control' kipindi cha usiku kinapofika, wewe unamchepuko basi unalala kwa wasiwasi kwasababu umerudi kwa mkeo, unawaza mchepuko nae anaweza kuwa na mchepuko, mchepuko kachepuka”, amesema Dude.

Dude ameongeza kuwa wasichana ambao wanatenmbea na waume za watu wanatabia ya kuanzisha mahusiano mengine kwasababu hawapendi kuwa na mahusiano na mtu ambaye anamke tayari hivyo wao kutumika kama chombo cha starehe

Muigizaji huyo amewasihi wanaume kuacha tabia ya kuanzisha mahusiano ya nje ya ndoa bali watenge muda mwingi kwaajili ya kuboresha familia zao ili kuepuka migogoro katika ndoa.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani