Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbasha na story ya kumsotea Frola

Wednesday , 11th Jan , 2017

Mume wa mwanamuziki wa Injili Flora anayefahamika kwa jina la Emmanuel Mbasha amefunguka na kuweka wazi kuwa amekuwa akihangaika sana kuhakikisha mkewe huyo anarudi nyumbani na kuendelea kuishi kama zamani lakini jitahada zake zimegonga mwamba.

Flora na Emmanuel Mbasha

Emmanuel Mbasha akiongea kwenye kipindi cha eNEWZ alisema kuwa toka mkewe huyo ameanzisha songombingo hilo yeye alikuwa anahitaji mambo hayo yaishe ili mwisho wa siku waishi vizuri tena kama mume na mke kwani yeye hakujiandaa wala kujipanga kuachana na mkewe huyo.

"Kiukweli toka mwaka 2014 nimekuwa nikimbembeleza sana Flora arudi nyumbani, hata niliposhinda kesi nilikuwa namtumia jumbe mfupi kumtaka arudi ili tuishi kama zamani lakini wapi, kila vikao vya usuluhishi vilipoitishwa mwenzangu alikataa, lakini kiukweli kabisa nilikuwa natamani tuendelee kuishi wote kwani tayari tuna mtoto mmoja na mimi sikuwa tayari wala sikujipanga kuachana na Flora na wala sikufikiria kuwa ipo siku nitakuja kuachana naye" alisema Emmanuel Mbasha 

Mbali na hilo Emmanuel Mbasha amemtaka mkewe huyo kumkumbuka Mungu na kuishi katika vitu ambavyo anaviimba kwenye nyimbo zake za Injili kwani yeye ni kioo cha jamii na mtumishi wa Mungu pia. 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya