
Staa wa muziki Feza Kessy
Staa huyo ambaye amezindua traki ambayo ni kolabo yake na Chegge ya 'Sanuka', siku ya jana, ameweka wazi kuwa, ikifika wakati sahihi ataweka wazi biashara zake kwa upande wa uigizaji, sasa hivi kazi kubwa iliyopo mbele yake ikiwa ni kusukuma muziki wake mbele.
