Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanahabari nao watinga mahakamani kupinga sheria

Wednesday , 18th Jan , 2017

Muungano wa  klabu za waandishi wa habari nchini  UTPC Kwa kushirikiana na wadau wa habari  wamefungua  kesi kwenye mahakama kuu kanda ya Mwanza kupinga sheria mpya ya huduma za vyombo vya habari ya mwaka 2016

Wanahabari wakiwa kazini

Wadau hao wanadai kuwa sheria hiyo imekiuka Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 18 inayotoa haki na uhuru wa mtu kutoa na kupata taarifa.

Akizungumza kutoka katika mahakama hiyo mwanasheria Jebra Kambole amesema katika kesi hiyo ya kikatiba namba mbili ya mwaka 2017 inayosimamiwa na wanasheria 6 wakujitegemea imelenga kuishinikiza serikali kufanya marekebisho ya baadhi ya vifungu kwenye sheria hiyo kikiwepo kifungu namba 8,35 hadi 39 na 52 hadi 59  vya sheria ya huduma za vyombo vya habari namba 12 ya mwaka 2016.

 Kesi hiyo inafunguliwa ikiwa ni siku chache tangu wadau wengine wafungue kesi  kwenye mahakama ya Afrika Mashariki jijini Dar es Salaam huku wadau wa habari wakiendelea kutilia mgomo kushiriki mchakato wa kutunga kanuni za sheria hiyo.

Wasikilize hapa

  1. Jebra Kambole - Mwanasheria
  2. Jane Mihanji - Makamu wa Rais UTPC
  3. Abubakar Karsan - Mkurugenzi Mtendaji UTPC

 

 

 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu