Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waislamu watakiwa kudumisha amani

Saturday , 27th May , 2017

Waumini wa dini ya kiislamu nchini wametakiwa kuutumia vizuri mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa kufanya matendo mema pamoja na kudumisha amani ndani ya taifa la Tanzania

Muft wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubery

 

Wito huo umetolewa na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeiry Ally wakati akizungumza na Hotmix ya EATV kuhusu kuanza kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan na kusema kuwa katika kipindi hiki waislamu wanapaswa kuwasaidia watu wasiokuwa na uwezo wakiwemo, yatima na watu wengine.

“Nchi ikikosa amani hata shughuli nyingine za maendeleo na ibada haziwezi kufanyika kama inavyopaswa, hivyo basi ni muhimu kwa waislamu nchini kuwa mfano wa kudumisha amani na upendo”. Alisema Mufti

Sheikh Zubery, ameongeza kuwa katika mwezi huo Mtukufu wa Ramadhan Waislamu wanatakiwa kuishi kwa mapenzi na upendo, ikiwa ni pamoja kuwangalia na kuwasaidia wale wasiokuwa na uwezo wakiwemo, mayatima na watu wengine wasiojiweza.

Katika hatua nyingine naye, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum amewasihi waislamu kiujumla kuutumia mwezi mtukufu wa Ramadhan katika kuiombea nchi pamoja na kusameheana kwa waliokoseana bila ya kusahau kutoa misaada kwa watu wasiojiweza.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani