Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwelekeo wa vijana wasomi hauleti matumaini - EAC

Friday , 5th Dec , 2014

Asilimia kubwa ya vijana wasomi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatumia muda mwingi kutumia mitandao ya mawasiliano kwa mambo yasiyo na tija jambo linaloanza kuleta hofu ya kundi hilo kushindwa kusaidia kuleta ufumbuzi wa matatizo.

Asilimia kubwa ya vijana wasomi katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatumia muda mwingi kutumia mitandao ya mawasiliano kwa mambo yasiyo na tija jambo linaloanza kuleta hofu ya kundi hilo kushindwa kusaidia kuleta ufumbuzi wa matatizo mbalimbali yanayozikabili nchi.

Akizungumza baada ya kukutana na vijana kutoka taasisi mbalimbali za nchi zote wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katibu mkuu wa jumuiya hiyo Dr. Richard Sezbera amesema inasikitisha kuona vijana wengi wanatumia fursa hiyo kwa mambo ambayo hayawasaidii wao wenyewe wakati yapo matatizo mengi ambayo wangeweza kusaidia.

Akizufungua kongamano la vijana hao linalofanyika Arusha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya habari Prf Elisante Olle Gabrilel amesema kuna haja ya nchi wanachama kufanya kazi ziada ya kuwasaidia vijana kujitambua na kujua nafasi na fursa walizonazo kujiwezesha wao wenyewe na nchi zao.

Nao baadhi ya vijana wamesema tatizo kubwa lipo katika mifumo isiyo rafiki jambo ambalo lisiporekebieshwa matatizo yanayolalamikiwa sasa yataendelea kuwepo.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa