Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanaume aliyebadili jinsia anyonyesha mtoto

Sunday , 18th Feb , 2018

Mwanaume mmoja ambaye alijibadilisha jinsia na kuwa mwanamke nchini Marekani, ameweza kunyonyesha mtoto kwa maziwa yake, na kuweka rekodi ya mtu kuwahi kufanya hivyo duniani. Kwa mujibu wa watafiti.

Mwanamke huyo kwa sasa mwenye umri wa miaka 30 aliamua kufanya hivyo baada ya mpenzi wake kukataa kunyonyesha mtoto waliyekuwa wakitarajia kumpata.

Mtu huyo ambaye sasa ni mwanamke aliweza kufanya hivyo baada ya kutumia dawa na mashine ya ku-'pump' maziwa, huku watafiti wakisema matokeo ya tukio hilo yanaweza yakasababisha watu wengi waliobadili jinsia kutaka kufanya hivyo.

Taarifa zinasema kwamba mwanamke huyo alikuwa akipata tiba ya kubadilishiwa homoni kwa muda wa miaka 6, na hakuwahi kufanya upasuaji wa kubadili jinsia wakati amewafuata madaktarai kuwaelezea mpango wake wa kutaka kunyonyesha.

Kabla mtoto huyo hajazaliwa madaktari walimpa mafunzo maalum ya tiba kkumsaidia kutengeneza maziwa feki, ambayo mara nyingi hupewa kina mama ambao wameasili mtoto au wamepata mtoto kwa njia ya 'Surrogate', ikiwemo kupump maziwa, kuwekewa homoni za mama asili wa mtoto, na dawa amabzo zinasisimua uzalishaji wa maziwa na kuzuia homoni za kiume

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu