Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Michezo yampatia uongozi CCM

Tuesday , 26th Sep , 2017

Vijana wa umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wamesema kuwa wamemchagua Mwenyekiti wa Vijana wilaya ya Njombe ambaye atawakutanisha katika michezo kwa kuwa ni sehemu inayoweza kuwakutanisha vijana na kubadilishana mawazo na kuachana na

tabia hatarishi. 

Wakizungumza baada ya uchaguzi vijana hao wamesema kuwa kilichowafanya kumpatia ushindi Mwenyekiti Devota Kyoko ni kutokana na kujinadi kuwa atawaunganisha vijana kupitia michezo.

Mwenyekiti huyo atakaye dumu kwa muda wa miaka mitano katika kiti hicho aliyepatikana katika uchaguzi wa vijana wa chama hicho amesema kuwa vijana watatambua vipaji vyao kupitia michezo mbailimbali na kutafuta wafadhili wa vifaa vya michezo.

Aidha Kyoko amefunguka na kusema michezo inawakutanisha vijana na michezo sasa ni ajira vijana kama watatumia vizuri vipaji vyao baada ya kuvitambua watapata ajira zenye maslahi makubwa kuliko wasipo jihusisha na michezo.

"Michezo itasaidia vijana kujikinga na athari ya maambukizi ya virusi vya ukimwi,. Nimejipanga kuwatafutia vijana wafadhili mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidia kwenye michezo. Nitahakikisha kila kata vijana wanapata vifaa vyite vya michezo" Bi Kyoko amesema.

 

 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP