Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme

25 Jan . 2024

.Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), Terry Strong akimtunuku cheti Julieth Lwehabura - mmoja wa wanafunzi 50 wa vyuo vikuu walioshiriki katika programu ya mafunzo kwa vitendo kwa mwaka 2023. Wanaoshuhudia kushoto ni Meneja Mwandamizi Rasilimali Watu, Charles Masubi (kushoto) na Meneja wa Mafunzo na Maendeleo Dominic Marandu (kulia).

24 Jan . 2024