Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vodacom kuwaongezea miamala wateja

Wednesday , 10th Jul , 2019

Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, imeanzisha huduma inayomuwezesha mteja, kuongezewa muamala wa pesa pindi anapopungukiwa.

Mkurugenzi wa M-pesa Epimark Mbeteni.

Akizungumza Jijini Dar Es Salaam, Mkurugenzi wa M-pesa Epimark Mbeteni amesema, huduma hiyo imekuja kwa kushirikiana na benki ya TPB, na kwamba ushirikiano huo utaweza kutatua matatizo ya kifedha yanayojitokeza.

''Hii ni huduma ambayo itaweza kumsaidia mteja kukamilisha muamala uliopungua, wakati wa kununua Luku, kutuma pesa, au wakati wa kununua bidhaa mbalimbali''.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Benki hiyo, Mkurugenzi wa vihatarishi wa TPB, Mosses Manyata amesema, huduma hiyo iliyopewa jina la Songesha na M-pesa, ni mtatuzi wa matatizo ya ghafla kwa mteja, wakati wa kutuma pesa ama kulipia bili mbalimbali.

Hii ni mara ya pili sasa kwa Kampuni ya Vodacom, kuungana na Benki hiyo, na kutoa huduma inayohusisha na kugusa maisha ya watanzania wengi.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani