Marehemu Racheal kuzikwa kesho Dar.

Baadhi ya wasanii Bongo Movie wakiwa wamekusanyika kushughulikia mambo ya msiba.

Msanii wa filamu wa aliyepoteza maisha juzi usiku yeye na mtoto wake aliyekuwa anajifungua, Racheal Haule atazikwa siku ya kesho jijini Dar es Salaam katika makaburi ya Kinondoni, baada ya mpango wa kumsafirisha kuelekea Njombe kubadilika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS