Ukurasa wa facebook wa Misosi waibiwa
Msanii wa muziki Bwana Misosi, amejikuta akiingia katika changamoto ya kiteknolojia baada ya mtu asiyemfahamu kuingilia ukurasa wake wa Facebook kwa lugha ya kimombo 'kuu-hack', na kuanza kuutumia ukurasa huo kurubuni watu kwa kutumia jina lake.