Mzee Small afariki dunia

Mzee Small akiwa na Bi. Chau

Muigizaji maarufu wa vichekesho nchini Tanzania Saidi Ngamba maarufu kama Mzee Small amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya taifa Muhimbili alikokimbizwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS