Mzee Small afariki dunia Mzee Small akiwa na Bi. Chau Muigizaji maarufu wa vichekesho nchini Tanzania Saidi Ngamba maarufu kama Mzee Small amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya taifa Muhimbili alikokimbizwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Read more about Mzee Small afariki dunia