Tanzania Yatesa Brazil

Timu ya taifa ya Tanzania ya watoto wa mitaani

Timu ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imefanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Dunia yanayofanyika Rio de Janeiro nchini Brazil baada ya kuifunga Indonesia kwa jumla ya mabao 5-3.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS