Rais Jakaya Kikwete akipiga kura yake katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Msoga, kata ya Msoga,Chalinze Mwaka 2010.
Rais Jakaya Kikwete leo amewaongoza wakazi wa jimbo la Chalinze mkoani Pwani kupiga kura kumchagua mwakilishi wao katika bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania.