Mabondia Francis Miyeyusho (Kushoto) na Francis Cheka (Kulia) wakiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda (Katikati) nje ya ukumbi wa Bunge 2013
Maandalizi ya mipambano miwili ya kimataifa itakayowahusisha mabondia wawili kutoka Tanzania, Francis Cheka na Francis Miyeyusho na mabondia kutoka nje ya nchi yamekamilika