CHABATA kuadhimisha sherehe za Muungano

Moja ya mashindano ya Baiskeli nchini Tanzania

Waendesha baiskel 6o kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara na Zanziba kuchuana hapo kesho katika mbio za kilomita kumi katika mashindano ya wazi Muungano, mashindano yakayoanzia Mwenge kuelekea Chanika na kumalizia fukwe za Coco jijini D'salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS