CHABATA kuadhimisha sherehe za Muungano
Waendesha baiskel 6o kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania Bara na Zanziba kuchuana hapo kesho katika mbio za kilomita kumi katika mashindano ya wazi Muungano, mashindano yakayoanzia Mwenge kuelekea Chanika na kumalizia fukwe za Coco jijini D'salaam