Mzee Ali Hassan Mwinyi asisitiza kulinda Muungano
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kuhakikisha wanadumisha na kuulinda Muungano ili kizazi kijacho kiweze kuyaona mafanikio na changamoto za shughuli hizo tangu kuanzishwa kwa Muungano.