Kanjii ajipanga kutua Dar

mwanamuziki wa Kenya Kanjii Mbugua

Wasanii kutoka Kenya, Kanjii Mbugua pamoja na A-star Richard kutoka Kenya, mwishoni mwa mwezi huu watafanya ziara ya kimuziki nchini Tanzania, ikiambatana na Kongamano litakaloangalia namna ya kutumia muziki na burudani kusaidia jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS