Uchukuaji fomu za kuwania uongozi TLGU wasuasua
Rais wa chama cha mchezo wa gofu kwa wanawake Tanzania TLGU Mbonile Barton amesema hatogombea nafasi yoyote katika uchaguzi mkuu ujao wa viongozi wa chama hicho utakaofanyika katikati ya mwezi ujao mkoani Mororogo

