Chuo cha Mifugo LITI cha Mpwapwa chafungwa

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dkt Titus Kamani

Serikali imekiagiza chuo cha Mifugo (LITI) kilichopo Wilayani Mpwapwa kufungwa kwa muda usiojulikana baada ya wanafunzi wa chuo hicho kufanya fujo kwa madai ya kutoridhishwa na mfumo mpya wa vyeti vinavyotolewa na chuo hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS