Izzo: Mitindo imewekwa na Mungu

msanii wa bongofleva Izzo Bizness

Staa wa muziki Izzo Business, amegusia suala la maadili katika mitindo ya mavazi hususan kwa wasanii na kueleza kuwa, kwa mpango wa Mungu kila sekta imekuwa na mtindo na muonekano ambao humsaidia mtu kutambua muhusika kwa mara ya kwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS