'Moroz' apoteza maisha kwenye ajali

msanii wa miondoko ya dance hall nchini Uganda marehemu Vicent Semmambo aka 'Moroz'

Kutoka katika ajali mbaya kabisa ya basi la abiria - daladala na bodaboda iliyotokea huko Uganda na kuua watu watano papo kwa papo, msanii Vicent Semmambo, aliyekuwa akitambulika kisanaa kama Moroz amefariki dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS