Wakazi Dodoma wataka migogoro ya Ardhi kutatuliwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi. Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wamemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kufika katika mkoa huo na kutatua migogoro ya ardhi inayowakabili. Read more about Wakazi Dodoma wataka migogoro ya Ardhi kutatuliwa