Serikali yauondoa Muswada wa Habari Bungeni

Waziri wa nchi ofisi ya rais (kazi maalumu) Prof Mark Mwandosya

Serikali imeuondoa muswaada wa sheria ya haki ya kupata habari 2015 uliokuwa uwasilisilishwe na kujadiliwa katika mkutano unaoendelea wa bunge mjini Dodoma ili kutoa nafasi kwa wadau kutoa maoni yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS