Watatu wajeruhiwa vurugu za kampeni CCM, Mara

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rorya alieshika mic Samwel Kiboye maarufu kama Namba 3akizungumza na wananchi wa Kata ya Utegi wilayani humo.

Watu watatu wamelazwa katika hospitali teule ya shirati wilayani rorya baada ya kujeruhiwa vibaya katika ugomvi ambao unadaiwa kuhusishwa na kampeni za kisiasa za wagombea wa ubunge wa Chama Cha Mapindizi katika jimbo la Rorya

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS