Shule yafungwa miezi miwili kwa ukosefu wa Vyoo

Afisa Elimu wa mkoa wa Morogoro Bi Wariambora Nkya.

Shule ya msingi juhudi wilaya Morogoro imefungwa kwa zaidi ya miezi miwili kutokana na kukosa choo ambapo wazazi wamelazimika kuchangishana na kujenga matundu ya vyoo lakini hadi sasa serikali haijafungua shule hiyo huku wanafunzi wakizagaa mitaani

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS