TWASO yaandaa kongamano la walemavu wa ngozi

Mwenyekiti wa Kamati ya kuratibu mapambano ya kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino),Said Ndonge

Chama cha wataalam wa ustawi wa jamii Nchini (TASWO) kimeandaa kongamano la siku mbili mkoani Iringa ili kuunganisha nguvu ya pamoja juu ya haki za watu wenye ulemavu wa ngozi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS