Mwenyekiti wa Kamati ya kuratibu mapambano ya kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino),Said Ndonge
Chama cha wataalam wa ustawi wa jamii Nchini (TASWO) kimeandaa kongamano la siku mbili mkoani Iringa ili kuunganisha nguvu ya pamoja juu ya haki za watu wenye ulemavu wa ngozi.