Watanzania watakiwa kuwafichua raia wenye Silaha

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2015 Bw.Juma Khatibu Chum akiongea na wananchi

Wananchi wanaoishi katika maenao ya mpaka kati ya Tanzania na Burundi katika mkoa wa kigoma , wametakiwa kuwafichua raia wa nchi jirani wanaoingia kinyemela na kuingiza silaha mbalimbali za kivita nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS