Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu akiongea na Wananchi
Wananachama wa chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Iringa wamekumbushwa kujitokeza kwenye zoezi la kuwapigia kura ya maoni wagombea wa ubunge na udiwani ili kpata viongozi bora.