Wanachama CCM watakiwa kujitokeza kura za Maoni

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu akiongea na Wananchi

Wananachama wa chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Iringa wamekumbushwa kujitokeza kwenye zoezi la kuwapigia kura ya maoni wagombea wa ubunge na udiwani ili kpata viongozi bora.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS