Matokeo kura za maoni jimbo la Arusha mjini

Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Feruzy Bano ametangaza matokeo ya kura za maoni Jimbo la Arusha Mjini mapema leo, nakusema kwa sasa hawezi kusema aliyeshinda kw akura ndio mshindi, sababu bado wana vikao vya kuchunja na atakayerudishwa jina lake ndio atakayepeperusha bendera.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS