Bado haijathibitika kuingia kwa Ebola -Dkt Vida

Mtaalam wa ufuatiliaji wa magonjwa ya binadamu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Vida Mmbaga akitoa ufafanuzi kuhusu historia ya ugonjwa wa Ebola.

Serikali imesema licha ya kuendelea na Uchunguzi wa kubaini ugonjwa uliomuua Mkimbizi mmoja katika kambi ya Nyarugusu ambae inasadikiwa amefariki kwa ugonjwa wa ebola imewataka wananchi kuchukua tahadhari juu ya Ugonjwa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS